Jumbu TV

Jumbu TV Jukwaa la habar popote pale ulipo utapata habar hivyo usikae mbali gusa like ili usipitwe na taarifa zote za kimichezo,za kitaifa na kimataifa nakazalika

Since Romelu Lukaku last scored at Old Trafford:Alexis Sanchez has collected £12million in wagesManchester City have sco...
30/11/2018

Since Romelu Lukaku last scored at Old Trafford:

Alexis Sanchez has collected £12million in wages
Manchester City have scored 83 goals
Lewis Hamilton has won 11 Gran Prix’s
Real Madrid have had three managers
Mbappe has won four trophies

DAR: Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi(TSNP), Abdul Nondo ameripoti Idara ya Uhamiaji kuhojiwa kuhusu uraia wake- Ataki...
04/04/2018

DAR: Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi(TSNP), Abdul Nondo ameripoti Idara ya Uhamiaji kuhojiwa kuhusu uraia wake

- Atakiwa kupeleka cheti chake cha kuzaliwa, cheti cha baba yake, mama yake, cha bibi na babu mzaa baba na mzaa mama Aprili 20

12/03/2018

OBREY CHIRWA anaifungia YANGA bao LA 3 - 1 STAND

12/03/2018

YANGA 2-0 STAND

Hatimaye Rais Jacob Zuma amekubali kujiuzulu mara moja k**a rais wa Afrika kusini baada ya kuzidishiwa mbinyo kutoka cha...
15/02/2018

Hatimaye Rais Jacob Zuma amekubali kujiuzulu mara moja k**a rais wa Afrika kusini baada ya kuzidishiwa mbinyo kutoka chama tawala cha ANC. Awali Zuma aligoma kujiuzulu akisema ANC walikuwa hawamtendei haki kwa kumtaka ajiuzulu bila kumpa sababu za msingi kutaka aachie nafasi yake. Bunge la Afrika Kusini lilikuwa lipige kura ya kutokuwa na imani na Zuma Alhamisi hii. Kujiuzulu kwake kunatoa nafasi kwa makamu wake ambaye ndiye rais mpya wa ANC Cyril Ramaphosa kutawazwa kuwa rais wa nchi pia.

Kada wa Chadema Tambwe Hizza, amefariki dunia leo asubuhi nyumbani kwake, Mbagala Kizuiani, Dar akiwa amelala, msemaji w...
08/02/2018

Kada wa Chadema Tambwe Hizza, amefariki dunia leo asubuhi nyumbani kwake, Mbagala Kizuiani, Dar akiwa amelala, msemaji wa Chadema Tumain Makene amethibitisha

Vituo viwili vya televisheni vilivyokuwa vimefungiwa na serikali ya Kenya kuhusiana na kurusha matangazo ya kujiapisha k...
05/02/2018

Vituo viwili vya televisheni vilivyokuwa vimefungiwa na serikali ya Kenya kuhusiana na kurusha matangazo ya kujiapisha kwa kiongozi wa upinzani Raila Odinga vimeanza kurusha tena matangazo, lakini kituo cha tatu kimeendelea kufungiwa. Kituo cha NTV kimetangaza kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa kimerejesha matangazo kwenye chaneli zake za kulipiwa, huku KTN News nayo ikirejesha chaneli zake za bure. Kituo cha Citizen kimeendeelea kutokuwa hewani. Vituo hivyo vitatu vilifungiwa baada ya kujaribu kurusha mubashara, hafla ya kujiapisha kwa kiongozi wa muungano wa upinzani NASA, Raila Odinga siku ya Jumanne, k**a rais wa wananchi.

Salamu za Rambi Rambi Kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kwenda kwa Familia ya Mzee Kingunge Ngombale Mwir...
02/02/2018

Salamu za Rambi Rambi Kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kwenda kwa Familia ya Mzee Kingunge Ngombale Mwiru

Mzee Kingunge amefariki akiwa na umri wa miaka 87, Katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa akiendelea na matibabu baada ya kujeruhiwa na mbwa wake nyumbani.

Mungu ailaze roho ya marehemu Mahali pema peponi.

Times Fm Radio inatoa Pole kwa Wote walioguswa na msiba huu, Mungu awatie nguvu na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu.

01/02/2018

Naibu wa Muungano wa NASA nchini Kenya kalonzo Musyoka abubujikwa na machozi katika mkutano na vyombo vya habari jijini Nairobi baada ya kiongozi wa Muungano huo Raila Odinga kusema kwamba ilikuwa inauma kuona kilipuzi kinarushwa katika nyumba ya naibu huyo licha ya kwamba mkewe aliye mgonjwa yupo ndani.

Mwanamuziki wa nchin Uganda maarufu k**a Mouzey RADIO aliyewahi kutamba na ngoma ya RABADABADA akiwa na mwenzake kwajina...
01/02/2018

Mwanamuziki wa nchin Uganda maarufu k**a Mouzey RADIO aliyewahi kutamba na ngoma ya RABADABADA akiwa na mwenzake kwajina wizzo amefariki dunia baada ya kuugua kwa takriban wiki mbili

Arsenal imekamilisha mazungumzo ya kumsajili,mshambuliaji Pierre Aubameyang wa Borrusia Dortmund kwa ada ya pauni 55mili...
29/01/2018

Arsenal imekamilisha mazungumzo ya kumsajili,mshambuliaji Pierre Aubameyang wa Borrusia Dortmund kwa ada ya pauni 55milioni, mshahara pauni 180,000 kwa wiki

Ngoma mpya ya Mbosso toka wasafi itafute inaitwa WATAKUBALI?
29/01/2018

Ngoma mpya ya Mbosso toka wasafi itafute inaitwa WATAKUBALI?

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jumbu TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share