20/10/2024
KWA VIJANA TU .
sikia kijana acha tabia ya kuwa na haraka, Mambo huenda taratibu na kisha hutimia kwa Furaha .
Hizo pesa za haraka ,Ndoa za haraka , nyumba za haraka , hazidumu na mara nyingi zinakosa ushuhuda U Just Relax Mungu atakuinua Taratibu usione Aibu kukosa Leo , usijipuuze kuchelewa kujenga au Kuoa au kuolewa tulia Mungu Yupo kazini 📌