25/06/2025
🌙✨ USIKU WA MSWAHILI 2025 ✨🌙
🔥 Usiku wa Utamaduni, Ladha na Ubunifu wa Kiswahili! 🔥
📅 Tarehe: Jumamosi, 5 Julai 2025
🕕 Muda: Saa 12 jioni (6 pm) – Saa 9 asubuhi (3 am)
📍 Makani: Carnivore Grounds – Simba Salon, Barabara ya Lang’ata, Nairobi
🎭 Kaulimbiu: Lugha Yetu, Akili Yetu, Dunia Yetu
Karibu kwenye usiku wa kipekee ambapo utamaduni wa Kiswahili unang'ara, ladha za pwani zinapendeza, na ubunifu wa Kiafrika unapata jukwaa lake! Hii ni fursa ya kusherehekea Kiswahili k**a chombo cha umoja na maendeleo.
🎟️ KIINGILIO:
🔹 Kawaida: Ksh. 1,000
🔸 VIP: Ksh. 2,500
Ada inajumuisha vocha ya chajio!!
💳 JINSI YA KULIPIA:
🌐 Bonyeza hapa: https://little.africa/events/125
📱 Au piga: *826*125 # kwenye simu yako
🌟 MATUKIO MAKUU:
✅ Mlo wa Kiafrika wenye ladha za pwani
✅ Vyakula vya Kiswahili (street swahili buffet)
✅ Maonyesho ya mavazi ya kitamaduni
✅ Ushairi, muziki, ngoma na sarakasi
✅ Uzinduzi wa Tamko la Kiswahili
✅ Mavazi: Vaa kitamaduni, kiasili au kwa mtindo wa pwani
🎉 Hii si hafla ya kawaida — ni sherehe ya utambulisho wetu, lugha yetu, na matumaini yetu ya kesho.
📢 Alika marafiki zako, valia kwa fahari ya Kiafrika, na tukutane Carnivore kwa USIKU WA MSWAHILI wa kukumbukwa!