DJ RAYS 254

DJ RAYS 254 ▂▃▅▇█▓▒░𝐃𝐉 𝐑𝐀𝐘𝐒 254░▒▓█▇▅▃▂
𝐕𝐈𝐂𝐊 𝐄 𝐄𝐍𝐓𝐄𝐑𝐓𝐀𝐈𝐍𝐌𝐄𝐍𝐓
𝐌𝐑.𝐀𝐈𝐑𝐖𝐀𝐕𝐄
𝐓𝐇𝐄 𝐇𝐈𝐓 𝐁𝐎𝐘

Umeskiza nyimbo mbili za Toxic ushaanza kutembea ukikunja ngumi 🙆😂😂💔
27/08/2025

Umeskiza nyimbo mbili za Toxic ushaanza kutembea ukikunja ngumi 🙆😂😂💔

27/08/2025

Uzuri Next year hatutasota sna kuna doo ya campaign 😂😂😂

Mtoto Wa landlord amaeniulizaa kinyume cha babu Ni Nini nikasema Owino...hatuezi lipa rent Na tufunze mtoto Wa wenyewe 🫴...
27/08/2025

Mtoto Wa landlord amaeniulizaa kinyume cha babu Ni Nini nikasema Owino...hatuezi lipa rent Na tufunze mtoto Wa wenyewe 🫴🏽😂😂

26/08/2025

High schoolers tuliwapenda lkni uji na preps zikawapenda zaidi😭😂😂

18/08/2025

Watu kibahatisha wananipigia kelele kila saa nkt 😅😅

31/07/2025

TikTok

07/07/2025

Unaenda maandamano unapata babako ndo hired goon💔😂

Huyo msupa mlipatana Facebook lite ndo unaita baby gal 🫴🫴🫴💔free mode😂💔Kujeni mniue sasa 😂😂😂💔
26/06/2025

Huyo msupa mlipatana Facebook lite ndo unaita baby gal 🫴🫴🫴💔free mode😂💔
Kujeni mniue sasa 😂😂😂💔

Ndio kutokea kazi sasa si mnajua kazi yangu ni kulala 😂😅😅
22/06/2025

Ndio kutokea kazi sasa si mnajua kazi yangu ni kulala 😂😅😅

Kumbe kukaa na dem lazima mkule breakfast daily.😢😭🥹. Mtu anachukua your  favourite towel anaifanya duster aty juu nimeit...
13/06/2025

Kumbe kukaa na dem lazima mkule breakfast daily.😢😭🥹. Mtu anachukua your favourite towel anaifanya duster aty juu nimeitumia for 9 years.😭huskii hadi nimetafutiwa uniform za kulala🙄.

Actually nilidhani fruits ni za harusi ama christmass..😂saii nazikula daily k**a mgonjwa.🫢. Khai na hii economy.
Bana shopping ni mara mbili kwa wiki na blueband ni lazima, 🙄nilikuwa nimezoea kitunguu na nyanya then royco..

Kwanza nalalia pillows za white badala grey kana gîtîri. 🙆Kitu ingine hanunui nyanya za 10 na kitunguu moja...anaokota kila kitu kwa kibanda bana⛹️⛹️⛹️, kae gûthîaga atîa maa

Nilidhani kuoga ni sabuni ya kipande na kagunia..msee nilibuyiwa gloves na scented soap..naoga k**a chiwawa😂😂🙆. Then glass zangu za maji zilitupwa zote na vile hizo yoghurts zilikuwa expensive plus kuosha hizo mikebe🤔🤔

Introducing towel in my house was the greatest shock, nilizoea nikimaliza kuoga najitingiza k**a mbwa nakauka😂⛹️ I thought mtu huoga akienda town but guess what naoga ata nikienda kulala....Hadi nmeanza ata kukuwa brow

11/06/2025

Madem wamezoea masimps wakipatana na mm hushangaa sana 😂😂😅

11/06/2025

Morning my gees

Address

Djrays@gmail. Com
Kitale

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DJ RAYS 254 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share