PCK Music
(2)

06/18/2026

Honestly Diamond kamponza DVOICE maana wasingeachia video ya ile ngoma leo coz mpaka kesho nyimbo Yao itafunikwa na WIMBO mpya wa Mbosso yani huu WIMBO wa DJ dah ni balaa na Nusu

N.B: WIMBO HUU NILOIMBA HAPO NI NAOMBA UWAFIKIE WA HAYA WOOTE DUNIANI

06/17/2026

Wale mlokua mnaomba video ya CHUI... 🐯 akiwa anaimba kwenye stage ya DUNIA njooni tu hapa nitaziwapa za kutosha

Hapo sio Talantala lounge Hapo ni Canada πŸ‡¨πŸ‡¦ North America πŸ‡ΊπŸ‡Έ Alafu mnatakiwa kutofautisha mtu anae itwa na FIFA kwenye museum kutangaza makumbusho ya FIFA eti kaitwa na fifa wewe subutuuuuuuuuuu

Nyieeeeee komeni kabisa

Diamond anatakiwa kukubali kua zama zake zishaisha

Alafu niwakumbushe tu CHUI... 🐯 anamiliki BET award je! Diamond anayo?

Hebu tuachane na mambo ya FIFA tuje kwenye AWARD zinazojulikana duniani

Je! Diamond anayo BET AWARD πŸ₯‡?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

K**a Hana basi hapo kwenye coment andika

CHUI... 🐯 1 - 0 SIMBA..!🦁

Ao andika

Next level Music 1-0 Wasafi Classic Baby!

Nyieee Nyieeeee

ELLY MZAVA MAHARINDO hivi ile BUGHATTI ya CHUI... 🐯 mlisema Parade yake inaanzia wapi vile?

06/17/2026

TOZALI BANA YA TATA MOKO CONGO πŸ‡¨πŸ‡© FOR LIFE I LOVE U CONGO πŸ‡¨πŸ‡©

06/16/2026

Leo naomba kuongea na SIMBA..!🦁 kidogo

Bro Mimi hua najiuliza mengi saana kuhusu matendo ambayo hua unafanyia wasanii wenzio sio Poa ni kweli wewe ni biggest artist kwa east Africa but watakao kuja kukuangusha ni hao machawa wako

Hivi ni kwanini kila msanii alietoka WCB lazima uwe na bifu nae?

1. Alipo ondoka Billionea kid πŸ’° WCB aliundiwa zengwe la kufa mtu na kusambaza chuki kwa watu ili waweze kumchukia mtoto wa mama Richard ambapo ulifanikiwa coz mpaka leo kuna media ambayo haiwezi piga ngoma za rich kisa tu vijisenti vya kunywa maji

2. Kaondoka KONDEBOY WCB nae aliundiwa zengwe laajabu mpaka hata Mimi mliwai kunitumia niweze kumu attack kwakunipa evidence za uongo zidi yake wakati haikua kweli na mpaka leo hua unatamani apotee kimziki je! Hua unataka ubaki kua artist pekeako?

3. Kaondoka Rayvanny Artist pekee mwenye BET AWARD Tanzania nzima nae kwa sasa ushamkunjia kisa tu maneno ya kuletewa mezani bila kuchunguza, but huyu huyu ndo kaiwakilisha Tanzania kwenye FIFA WORLD CUP COUNTDOWN CEREMONY nilitegemea ungekua wa kwanza kumpongeza na kua proud nae Ila ndo kwanza limekuongezea chuki kwenye moyo wako

4. Mbosso the same now umemgieuza kua adui wako mkubwa pasipo sababu, kipindi mbosso anajipanga kuachia EP ROOM NUMBER 3 mbosso alitangaza tareh then na wewe tareh ilipofika mapema tu ukaharibu kwakuachia WIMBO wako na bien WIMBO ambao uli trend kwa siku3 ukapotea, but mbosso alipoachia EP yake WIMBO wa PAWA ukaruka kitu ambacho kimekuuma mpaka leo

Sasa swali langu kwako ni kwanini kila artist anae toka WCB hua unamgieuza kua Adui wako mkubwa ?

Mbona wewe ulipoondokaga Sharobaro record Bob Junior hakuwai kukutoza hata senti 1 ao kukugieuza kua Adui wake number one, Why always you?

Alafu Kingine hiii dunia ni tambara bovu k**a ni umaarufu wewe bado saana k**a ulikua hujui Tanzania mpaka leo hakuna artist yeyote ambae kashafikia record ya Mrnice TZ enzi zake alikua anapiga show kwenye stadium only na alikua ana piga soldout zoote

Jamaa nyimbo zake zili hit dunia nzima na ikumbukwe enzi hizo kulikua hakuna instagram wala Tiktok wala WhatsApp haikuwepo hata flash disc hazikuwepo Ila jamaa alikua na pesa balaa but leo je? Be humble ..

06/15/2026

But why?? Ohhh my god I don’t know why u are taking my grandpa there 😭😭😭😭😭😭

06/14/2026

Hapo ni msanii na manager wake woote wakiwa ni watu wa FIFA

Kuna swali naomba kuwauliza wachambuzi uchwara

1. RAYVANNY nakumbuka miaka 9 ilopita alikua msanii number one tanzania kuchukua BET AWARD na alipoichukua watu walisema eti nijambo la kawaida saana na sio Big deal sisi watu wambeya tu kasema sawa haina shida

2. RAYVANNY alipoenda kukiwasha PARIS kwenye uwanja mkubwa mlisema Tena eti ni jambo la kawaida wana mbeya tu kasema sawa

3. Kaalikwa kuja kukiwasha FIFA mnasema tena kua ni jambo la kawaida sasa naomba kuuliza

Je! Hayo mambo yoote ambayo kashayafanya Rayvanny Je! Kuna msanii ambaye kashawai KATARAMA’s Tanzania?

K**a jibu ni Yes basi tukubaliane kua Rayvanny ndo artist number 1 Tanzania

Hao wengine wajinga tu na kombolela

RAYVANNY LIVE AT XNO TONIGHT πŸ”₯Doors: 9PM - LATEForThoseWhoKnow…The wait is over. See you tonight for an unforgettable ex...
06/13/2026

RAYVANNY LIVE AT XNO TONIGHT πŸ”₯
Doors: 9PM - LATE
ForThoseWhoKnow…

The wait is over. See you tonight for an unforgettable experience. 🎀✨

XNO
DIAMOND PROMO
Danici Media



Entrance free parking freee

Kupitia wewe inatakiwa watu sasa waamini kua yupo mungu asieshindwa na jambo na pia hua anajibu kila jambo lake kwa waka...
06/13/2026

Kupitia wewe inatakiwa watu sasa waamini kua yupo mungu asieshindwa na jambo na pia hua anajibu kila jambo lake kwa wakati

Hongera saana Wema Sepetu & DON DINGOO Mungu awape zaidi ya hiki alichowapa leo na amlinde na kumkuza mtoto kwa baraka na furaha iliyojaa amani ndani yake

Hongera Tena na Tena Wema Sepetu

06/12/2026

Address

Toronto
Oakville, ON
L6K3K7

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PCK posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PCK:

Share