PCK Music
(2)

05/30/2026

Ila wa bembe wanapenda kukitesa saana wallah sasa mtu unaishi Europe still unataka kupika kwenye kuni

05/25/2026

Naomba ni waulize wa kristo Je! Hii ni style Gani ya mazishi? Maana hata mwanandani hua haipo hivi

Yani mnazika mtu akiwa amesimama kichwa wazi seriously?

05/23/2026
05/22/2026

Msigwa wewe akili yako ni zero kabisa

Hivi ni kuulize sio ninyi ndo mlisema mwanafunzi anapo hitim elimu yake akajiajiri right so ushajifikiria mtu katoka shule then ajiajiri huo mtaji anakua kampa mama yako ao?

Hivi unajua ni vijana wangapi wapo majimbani kwao kwakukosa ajira?

Je! Wewe mbona hujawai kulima hiyo njombe yenyewe hua unaenda mara moja baada ya miaka5 mda wako woote upo dar

Sawa tuseme watu wamekubaliana na wewe wafanye kilimo je! Hizo shamba na mbolea wanapewa bure ili wakalime?

Na watu wa Dar na wao wakalime je! Dar kuna mashamba?

sometimes kabla ya kuongea uwe unafikiria hata jamii inayo kuzunguka na sio kuropoka kisa wewe una maisha bora na ajira ya kudumu unakufanya uwaone woote wasokua na kazi kua niwazembe na wavivu nooo

1. Serekali ya haijawai kuweka mikakati bora ya ajira kwa kila mtu

2. Serekali ya CCM imekua madarakani kujinufaisha yenyewe na ufisadi bila kujali wananchi

3. Leo hiii maisha yamekua magumu na ya hatari kwa kila mtanzania

4. Nchi haina furaha wala amani kila mtu kila ifikapo usiku anahofu ya kuishi na hajui k**a kutakucha akiwa hai

5. Nchi imejaaa damu kila sehem

Kuanzia Rais mpaka watu wake woote wa chini woote wezi

Then unakuja kuropoka mbele za watu unaongea upuuzi usoeleweka Hivi ushawai kujiuliza siku ukija kukuta mtu wako yeyote uliempenda saana katekwa then ukaja kuokota mwili wake kwenye mto?

ningewaona wa maana saana k**a mngeweza kutumia sikuhizi kusafisha na kuomba msamah kwa maelfu ya watu mlowauwa October 29/2025

Ni vile tu watanzania mshaga waona k**a katuni zenu na kuwajaza mauoga

Na ninyi nina uhakika 100% woote hamna ajira na wala hata hayo mashamba ya kulima hamna Ila mnavyotumiwa sasa kukamilisha uovu wa hawa mafisadi yani wewe kula yako shida Ila fisadi anaendelea kukutumia wewe kuongeza kitambi chake then wakiona mnalalamika saana mnapewa buku5 basi mnaona maisha ndo hayo mwisho wa siku wanakuja kuwatukana live kua hamtaki kufanya kazi nendeni mkalime njombe serious?

MIMI NINA MASWALI MENGI SANA NAKOSA MAJIBUHIVI NI LINI TANZANIA ITAPATA UHURU NA AMANI?JE! KWANINI WANAO TEKWA NA KUDHUR...
05/21/2026

MIMI NINA MASWALI MENGI SANA NAKOSA MAJIBU

HIVI NI LINI TANZANIA ITAPATA UHURU NA AMANI?

JE! KWANINI WANAO TEKWA NA KUDHURIKA NI WANA SIASA WA VYAMA WA UPINZANI TU?

KINGINE INA MAANA TANZANIA HAKUNA MEDIA HATA MOJA INAYOWEZA KUKEMEA HUU UTEKAJI NA MAUWAJI?

MEDIA ZOOTE ZIPO BUSY NA RIO FERDINAND KWA UPUUZI TU HUKU WATU WANAKUFA 24/7 MNAONA NI SAWA TU



HIVI HIZI MEDIA ZOOTE HAZIPO TANZANIA AO?

HIVI NI LINI TANZANIA ITAPATA UHURU NA AMANI?JE! KWANINI WANAO TEKWA NA KUDHURIKA NI WANA SIASA ZA UPINZANI TU?
05/21/2026

HIVI NI LINI TANZANIA ITAPATA UHURU NA AMANI?

JE! KWANINI WANAO TEKWA NA KUDHURIKA NI WANA SIASA ZA UPINZANI TU?

05/21/2026

Angalieni sasa ile mikopo ambayo BI MSUMI hua anakopa kopa hovyo matumizi yake na watakao lipa hiyo mikopo ni wananchi wenyewe

Mmoja ametekwa usiku huu nyumbani kwake(David Jumbe), mwingine yuko Jela haijulikani atatoka lini ( Mhe. Tundu Lissu) na...
05/21/2026

Mmoja ametekwa usiku huu nyumbani kwake(David Jumbe), mwingine yuko Jela haijulikani atatoka lini ( Mhe. Tundu Lissu) na mwingine yuko uhamishoni kwa kutaka kuuwawa (Askofu Mwanamapinduzi).

Usiku huu watu wenye silaha ambao hawajajitambulisha wamemk**ata David Jumbe (kushoto) ambaye ni Msaidizi wa Tundu Lissu nyumbani kwake Mabwepande Bunju, jijini DSM. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mke wake, Jumbe alikuwa anarudi nyumbani na alipofika getini alifuatwa na watu hao, wakamk**ata na kumwingiza kwenye gari aina ya Land Cruiser kisha kuondoka kwa mwendo mkali. Jumbe alipiga kelele na kujaribu kujitetea lakini watu hao wakamzidi nguvu. Majirani walipofika walijaribu kuikimbiza gari hiyo bila mafanikio. Wameishia kuambulia kiatu ambacho Jumbe alikidondosha katika purukushani.

Je, huyu Chitanda aliyesema angepewa urais dakika moja, angemaliza wanachadema, ndiyo anamalizia?

Tusipoamua liwalo na liwe kwani ni nani yuko salama? Ee Mungu baba usikawie kutusaidia.

HBD MY BROTHER DON MENDEZ
05/12/2026

HBD MY BROTHER DON MENDEZ

Address

Toronto
Oakville, ON
L6K3K7

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PCK posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PCK:

Share