PCK Music
(1)

27/12/2025

😭😭😭😭😳😳😳😳😭😭

26/12/2025

Yani mwanaume mzima unaguswa kidogo unalalamika je! Maelfu ya watu ambao ninyi CCM na Bi Msumi mliua mnajua ndugu zao wanapitia maumivu gani’?

24/12/2025

Ila wa tanzania 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

But niwakumbushe kua leo kuna mkesha muhim saana kwa Gen-Z

23/12/2025

Oyaaa wanangu wa GEN-Z kesho tunaanza na mkesha Alafu tunaendelea 25 December

21/12/2025

Mwendo ni ule ule choma choma festival

20/12/2025

Watanzania hivi, why mnakua wasahaulifu?

Leo hii mnataka kusema kua mlisha sahau ndugu zenu walouwawa na wengine kuzikwa wakiwa hai?

Leo hii nchi wanauwawa na kutekwa kila siku achana na watu maarufu ambao mnao wajua je! Unajua vijana waokua na umaarufu ao kua na majina makubwa wanao tekwa na kuuliwa kila siku?

Leo nchi ina mwezi mzima hakuna maji nchi nzima then mnaletewa watu bills za maji je! Wanalipia maji yapi? Huo si wizi kabisa? Unampaje mtu bills ya maji wakati maji yenyewe hayatoki?

Hivi mji k**a Dar-es-salaam ambao umezungukwa na bahari unakuaje na tatizo la maji?

Banadari imeuzwa na waloinunua ni waarabu pesa zimeenda wapi?

Mgodi wa buzwagi uliopo mkoani shinyanga wilaya ya kahama umeuzwa warabuni pesa zimeenda wapi?

Leo police ndo wapo juu ya jeshi la wananchi Leo hii jwtz wanapewa amri na mgambo na wao wameridhika

1. Uchaguzi wa haramu na wa kihuni na rais kujiweka madarakani.....

Je! Mlitumia njia gani ao kipengele gani kumtangaza Rais?
Mnahesabu mamillion ya kura ndani ya dakika1 huku nchi ikiwa haina umeme wala internet je! Ni njia gani mlitumia kuhesabu kura?

Watu waliandamana na kuchoma kura kwa sehem nyingi za kupigia kura je! Bi msumi alishindwa nini kurudia uchaguzi?

2. Tundu lisu kapewa kesi ya Uhaini....... Guys, Hivi mnajua nini Maana ya uhaini? Tokea Tanganyika izaliwe unajua ni kesi ngapi za uhaini zishawai kuwepo Tanzania?

Leo kila mtu ambae yupo kinyume na ccm Leo anakua ni Muhaini hivi mnajua Uhaini ao mnaongea tu?

Ikiwa lisu ni Muhaini je! OSAMA alikua ni nani? Je! Lisu alishawai kushambulia nchi kwa mabomu? Je! Lisu alishawai kuua ao ku attack president yeyote kwa silaha?

Na nyinyi vifaranga sijui nguruwe nyinyi nguruwe mtakuja kufa vibaya

Ninani aliwahi kufikiria miaka mi3 ao 4 nyuma ni nani alijua kua Humphrey pole pole angeweza kupotezwa kwenye ramani ya dunia mpaka leo?

Pole pole alikua mkubwa kuliko ninyi kunguru za UVCC na amepotezwa sasa ndo ujue kua na ninyi kuna siku mtaweza kubadilikiwa na kupotezwa vile vile

Guys tareh 25 DECEMBER watu woote nikuingia road na kufanya maandamano ili kuirudisha amani na furaha ilozoweleka

Tanzania Leo imekua nchi ya kumwaga damu na kuteka

19/12/2025
17/12/2025

Huu ndio ukweli halisi

ALERT🚨🚨Hii ni orodha ya wana CCM wanaowindwa zaidi na Genge la Samia, Wengi wao wamewekewa zuio la kutoka nje ya Nchi na...
16/12/2025

ALERT🚨🚨
Hii ni orodha ya wana CCM wanaowindwa zaidi na Genge la Samia, Wengi wao wamewekewa zuio la kutoka nje ya Nchi na baadhi yao wanawindwa wauwawe.

1. Aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.

2. Hussein Bashe, Alikuwa Waziri wa Kilimo

3. Innocent Bashungwa, Alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani

4. Jenista Mhagama, Alikuwa Waziri wa Afya

5. Dk Seleman Jafo, Alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara

6. Dk Pindi Chana, Alikuwa Waziri wa Maliasili na Utalii

7. Dkt Damas Ndumbaro, Alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria.

8. Ummy Mwalimu, Aliyekuwa Waziri wa Afya.

9. Godfrey Mwambe, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji.

Samia na Genge lake wanashuku kuwa kikundi hiki kilichokuwa kinamuunga mkono MAGUFULI kinaenda kinyuma na matakwa na maagizo yao.

16/12/2025

Nani kasema k**a tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kuna amani?

13/12/2025

Muuaji ni muuaji tu no matter what

13/12/2025

Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ wake up pls

Address

Marsa Dubai

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PCK posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PCK:

Share