Zanzibar Investment Summit 2025

Zanzibar Investment Summit 2025 Under the theme “It’s Time for Pemba”, summit presents a unique platform for investors to explore the abundant opportunities that Pemba has to offer.

Save the New DateKindly Join us 15-17, 2025   'sTimeforPemba!
09/06/2025

Save the New Date

Kindly Join us 15-17, 2025

'sTimeforPemba!

09/06/2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewakaribisha Wawekezaji, Wafanyabiashara, Viongozi wa Taasisi za Umma na Binafsi pamoja na Wananchi kwa ujumla kushiriki tamasha la Uwekezaji mwaka 2025 ambalo linatarajiwa kufanyika Juni 15 hadi 17 Micheweni Pemba, Awali Tamasha hili lilipangwa kufanyika Juni 12 hadi 15.

Tamasha hili ni jukwaa muhimu la kuimarisha ushirikiano, kukuza fursa za maendeleo na mustakabali wa kisera kwa taifa letu.

Zanzibar imefunguka, Ni wakati wa Pemba sasa..

'sTimeforPemba!

06/06/2025

Micheweni Tuko Tayari! Pemba Imefunguka
Karibu Tamasha la Uwekezaji Zanzibar tarehe June 12-15 Juni 2025.

Tamasha hili la kihistoria linawalenga wafanyabiashara, makampuni, wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ikiwa lengo ni kujionea fursa za kiuchumi, kufanya majadiliano ya kimkakati, na upate mitandao ya kibiashara zaidi.

Muda umewadia, uwekezaji umewadia 🕐
Ni wakati wa Pemba kwa uwekezaji wenye Tija.🔍



Zimebakia siku 6 kuelekea Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025.Tamasha hili kubwa la kiuchumi linatarajiwa kufanyika kuanz...
05/06/2025

Zimebakia siku 6 kuelekea Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025.

Tamasha hili kubwa la kiuchumi linatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025, katika Maeneo Huru ya Uwekezaji, Micheweni Pemba.

Likiwa na kauli mbiu "Ni Wakati wa Pemba", inayolenga kuibua fursa zilizopo katika kisiwa hiki chenye utajiri mkubwa wa rasilimali, na kuwaalika wawekezaji kushiriki kikamilifu katika safari ya mageuzi ya kiuchumi ya Zanzibar.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) inawakaribisha, Wawekezaji wa ndani na nje, Wadau wa maendeleo, Sekta binafsi�Washirika wa kikanda na kimataifa, Kushiriki pamoja katika majadiliano ya kimkakati, maonesho ya fursa za uwekezaji, na hatua za pamoja za kujenga uchumi jumuishi, wa kisasa na unaozingatia mahitaji ya watu.

Mahali: Micheweni Pemba
Tarehe: 12 – 15 Juni 2025

Tembelea: www.zis.co.tz kwa usajili na taarifa zaidi

Karibu Pemba mahali ambapo mustakabali wa kiuchumi wa Zanzibar unajengwa

’sTimeForPemba!

Mheheshimiwa Shariff Ali Shariff, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, atahudhuria katika Tamasha la...
04/06/2025

Mheheshimiwa Shariff Ali Shariff, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, atahudhuria katika Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025 litakalofanyika Micheweni Pemba lenye kaulimbiu “Ni Wakati wa Pemba.”

Tarehe 12-15 Juni 2025

Tembelea: www.zis.co.tz

’sTimeForPemba!

Zimebaki siku Saba kuelekea Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025 (ZIS) ambalo linatarajia kufanyika katika maeneo huru ya ...
04/06/2025

Zimebaki siku Saba kuelekea Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025 (ZIS) ambalo linatarajia kufanyika katika maeneo huru ya Uwekezaji Micheweni Pemba Juni 12 hadi 15, 2025.

Tamasha hili kubwa linakusudia kuonesha fursa mbalimbali na halisi za Uwekezaji zinazopatikana visiwani Zanzibar, hususan katika sekta ya Utalii, Uchumi wa Buluu, Kilimo na Biashara ya mazao, Nishati mbadala, ICT na Ubunifu, Maendeleo ya miundombinu, Elimu na huduma za Afya.

Tamasha hili litajumuisha, Maonesho ya kibiashara, Matembezi ya hiari, Warsha na mijadala mbalimbali ya kibiashara, Ziara za miradi ya Uwekezaji, Mkutano wa Wafanya Biashara (B2B) na Chakula cha Jioni (Gala Dinner) pamoja na Kambi ya Matibabu.

Washiriki wa Tamasha hili, Taasisi za Umma na Binafasi,Wawekezaji, Wafanyabiashara Wakubwa wa Kati na Wadogo, Viongozi wakuu wa kitaifa na kimataifa, Wanasiasa, Viongozi wa Dini na wananchi kwa ujumla.

Kaulimbiu yetu ikiwa ni “Ni muda wa Pemba sasa”, mwaka huu kongamano limeelekezwa katika kuhamasisha Uwekezaji wa kimkakati kisiwani Pemba mahali penye fursa, uzuri wa asili, na utulivu.

KARIBUNI SANA

’sTimeForPemba!

04/06/2025

KILA MTU Zanzibar yuko tayari kwa Tamasha la Uwekezaji. Je Uko tayari? Tarehe June 12-15 Juni 2025.

Tamasha hili la kihistoria linawalenga wafanyabiashara, makampuni, wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ikiwa lengo ni kujionea fursa za kiuchumi, kufanya majadiliano ya kimkakati, na upate mitandao ya kibiashara zaidi.

Muda umewadia, uwekezaji umewadia 🕐
Ni wakati wa Pemba kwa uwekezaji wenye Tija.🔍



Mkurugenzi Mtendaji Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Ndg. Gilead Teri, atashiriki katika Tamasha la Uwekezaji Zanzibar...
03/06/2025

Mkurugenzi Mtendaji Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Ndg. Gilead Teri, atashiriki katika Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025 linalobeba kaulimbiu isemayo “Ni Wakati wa Pemba.”

Kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni, katika Maeneo Huru ya Uwekezaji Micheweni Pemba, mkutano huu utatoa nafasi ya kuwasilisha fursa mbalimbali za Uwekezaji ambazo bado hazijatumika kikamilifu, na kuimarisha ushirikiano wa kikanda kwa maendeleo endelevu ya kiuchumi.

'sTimeforPemba!

Zimebaki siku Nane (8) kuelekea Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025 (ZIS) ambalo linatarajia kufanyika katika maeneo huru...
03/06/2025

Zimebaki siku Nane (8) kuelekea Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025 (ZIS) ambalo linatarajia kufanyika katika maeneo huru ya Uwekezaji Micheweni Pemba Juni 12 hadi 15, 2025.

Tamasha hili kubwa linakusudia kuonesha fursa mbalimbali na halisi za uwekezaji zinazopatikana visiwani Zanzibar, hususan katika sekta ya Utalii, Uchumi wa buluu, Kilimo na biashara ya mazao, Nishati mbadala, ICT na ubunifu, Maendeleo ya miundombinu, Elimu na huduma za afya.

Tamasha hili litajumuisha, Maonyesho ya kibiashara, Matembezi ya hiari, Warsha na mijadala mbalimbali ya kibiashara, Ziara za miradi ya Uwekezaji, na Chakula na Viongozi wa Nchi (Gala Dinner) pamoja na Kambi ya Matibabu.

’sTimeForPemba!

02/06/2025

Tumejiandaa vyema kushiriki na tunawakaribisha wote katika Tamasha la Uwekezaji Zanzibar tarehe June 12-15 Juni 2025.

Tamasha hili la kihistoria linawalenga wafanyabiashara, makampuni, wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ikiwa lengo ni kujionea fursa za kiuchumi, kufanya majadiliano ya kimkakati, na upate mitandao ya kibiashara zaidi.

Muda umewadia, uwekezaji umewadia 🕐
Ni wakati wa Pemba kwa uwekezaji wenye Tija.🔍



Visit and discover untapped investment opportunities in infrastructure, trade, tourism, and more.Pemba is ready for rene...
02/06/2025

Visit and discover untapped investment opportunities in infrastructure, trade, tourism, and more.

Pemba is ready for renewable Energy and Green Investment. Come and connect with top investors, business leaders, and changemakers who are shaping the future of investment in Zanzibar



29/05/2025

Kuelekea katika Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025, Tunawakaribisha kushiriki matembezi ya hisani ya kujiweka fiti kwa ajili ya Tamasha kubwa la uwekezaji. Wananchi wote mnakaribishwa kushiriki matembezi haya tarehe 12 Micheweni, Pemba.

Tamasha kubwa la Uwekezaji Zanzibar 2025 liitakayofanyika kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025 katika Maeneo huru ya Uwekezaji, Micheweni, Pemba.

Muda Umewadia, Uwekezaji wenye Tija umefika,
Pemba nayo imeitika!

Address

UNGUJA, ZANZIBAR
Unguja
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zanzibar Investment Summit 2025 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category