Ekklesia Entertainment Tz

Ekklesia Entertainment Tz Music Entertainment,Photos making,Video Shooters,Recoding Studio,Cake makers and Hall Decorations.

Music Entertainment,Photos making,Video Shooting,Recoding Studio,Cake makers and Hall Decorations.
+255787 223839
[email protected]
Wedding, Send off, Communion, Graduation, Meeting, Fundraising, Birthdays.

  ..MISS ZANZIBAR...Jan 13, 1968, Hadiye Khamis M***a (Katikati) alitwaa taji la Miss Zanzibar.  Kushoto ni Hanifa Ibrah...
22/06/2023


..MISS ZANZIBAR...
Jan 13, 1968, Hadiye Khamis M***a (Katikati) alitwaa taji la Miss Zanzibar. Kushoto ni Hanifa Ibrahim (2) na kulia ni Doreen D'souza (3).

Hadiye ndiye Miss Zanzibar wa kwanza na wa mwisho, mashindano hayo yalifutwa, na Zanzibar haijafanya tena mashindano hayo hadi leo

Source: HISTORIA YETU
Vipi maoni yako kuhusu kufutwa kwa mashindano hayo Zanzibar???

11/06/2022

Papa Francisko analazimika kuhairisha tarehe zilizokuwa zimepangwa za ziara yake ya Kitume barani Afrika, katika Juma la kwanza la Mwezi Julai ambalo lingemwona huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC na Sudan Kusini.

Ni taarifa iliyotolewa asubuhi, tarehe 10 Juni 2022 katika Ofisi za Vyombo vya habari Vatican na Msemaji wake Dk Matteo Bruni.

“Kwa kupokea ushauri kutoka kwa Madaktari, ili kutobatilisha matokeo ya matibabu ya goti ambayo bado yanaendelea, Baba Mtakatifu Francisko kwa masikitiko amelazimika kuhairisha Ziara yake ya Kitume katika Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Sudan Kusini, iliyokuwa inatazamiwa mnamo tarehe 2 hadi 7 Julai na tarehe nyingine itaandaliwa.”

"Mhujaji barani Afrika alitazamiwa kwenda sehemu mbili, nchini Congo katika mji Mkuu wa Kinshasa na katika mji wa Goma na wakati huo huko huko Sudan Kusini, katika Mji Mkuu Juba".

Hata hivyo "kuhairisha ziara hiyo sio kuifuta", amefafanua hivyo Msemaji wa vyombo vya habari Vatican, Dk. Matteo Brun wakati akijibu maswali kwa waandishi wa habari na kwamba "kumekuwapo na matokeo mazuri katika kufanya mazoezi, hivyo madaktari wamemshauri Papa asilazimishe sana mguu wake ambapo unaweza kurudisha nyuma hali na kupoteza unafuu alioanza kuwa nao".....
|||||
ZAMUYANGU
#

Je unakumbuka wapi unapoona hii radio? ?
30/10/2019

Je unakumbuka wapi unapoona hii radio? ?

Washamba Bwana Wakiona tu Unasikika wanaamua kukupiga hivi .... It's so Sad Jambazi anaeza kukufanyia chochote sababu ye...
21/06/2019

Washamba Bwana Wakiona tu Unasikika wanaamua kukupiga hivi .... It's so Sad Jambazi anaeza kukufanyia chochote sababu yeye Jambazi na Yuko na Back Up za Kijambazi - T.I.D
Je unadhani kavamiwa kweli ama kuna jingine?

Zingatia haya unapoanza mahusiano mapya.
08/06/2019

Zingatia haya unapoanza mahusiano mapya.

Ipe jina.
08/06/2019

Ipe jina.

Nikomeshe!!Jiulize unaweza kujikomesha?
08/06/2019

Nikomeshe!!
Jiulize unaweza kujikomesha?

Wacheki  Kwa mavazi mazuri k**a haya. Wanashona nguo kwa bei nzuri jijini Dar es salaam.
16/04/2019

Wacheki Kwa mavazi mazuri k**a haya. Wanashona nguo kwa bei nzuri jijini Dar es salaam.


Tshirt printing.Logo designing.Flyers & poster designing.Business card designing & printing.
16/04/2019

Tshirt printing.
Logo designing.
Flyers & poster designing.
Business card designing & printing.

Picha | Video | Muziki | Graphics | Printing | Promotion | Magazine |Karibu sana wasiliana nasi +255 787 223839. ===    ...
11/04/2019

Picha | Video | Muziki | Graphics | Printing | Promotion | Magazine |
Karibu sana wasiliana nasi +255 787 223839.
=
=
=
.tag ?k ?yorum

Address

Arusha
Arusha
11849

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 13:00

Telephone

+255787223839

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ekklesia Entertainment Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ekklesia Entertainment Tz:

Share

Category