Freedom St.

Freedom St. Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Freedom St., 254, Nairobi.

Kuuliza tu,,,mtu hamko in a relationship unafaa kua unamjenga ganji kila saa na si loan ama ata kumuokorea k**a aref???K...
13/05/2026

Kuuliza tu,,,mtu hamko in a relationship unafaa kua unamjenga ganji kila saa na si loan ama ata kumuokorea k**a aref???
Kuna venye agent wa airtel anaweza lipwa na safaricom kweli???
Jambooo watuuu,,hope leo yenyu imekua timam..
Si mkuwe na usiku jamo imetulia na ndoto za ganji,,mazuri na success...
πŸ‘•β˜‘οΈ

K**a chali,,ukizaliwa tu ivi MAISHA tayari inakuaga ishakuchapa 2 nil,,ukihama na kuanza familia uko chini tena 4 nil......
13/05/2026

K**a chali,,ukizaliwa tu ivi MAISHA tayari inakuaga ishakuchapa 2 nil,,ukihama na kuanza familia uko chini tena 4 nil...
Kwa ivo kitu yoyote unafanya kujaribu kuondokea uduu manze jo kazaa Kabisaa na ufanye na roho jamo juu dunia nayo haijawahi kua fair kwa majamaa wako uduu...
Good morning kutoka hii pande....
πŸ§’πŸ‘•β˜‘οΈ

REALITY CHECK1.Kuna beshte yako ukua amenoki mtu wako na uomba SANA kanjevee unyurie aingie kwa power...2.Family mingi h...
11/05/2026

REALITY CHECK
1.Kuna beshte yako ukua amenoki mtu wako na uomba SANA kanjevee unyurie aingie kwa power...
2.Family mingi hatred uingia ukishaanga kukua SUCCESSFUL...
Inakuaje watuu,,hope weekendi ilikua murwa...
Sa si mkuwe na usiku true na hii wiki kila kitu mumekua mkiomba zijipe jo...
πŸ‘•β˜‘οΈ

Mara mingi sisi k**a majamaa ujichocha na kujipurizia venye sisi ndio lion ama head kwa setup ya famere lakini REALITY n...
10/05/2026

Mara mingi sisi k**a majamaa ujichocha na kujipurizia venye sisi ndio lion ama head kwa setup ya famere lakini REALITY na UKWELI ile iko ni ati manze jo bila the other gender hatukuagi complete ata kidogo...KING hawezi kua king bila QUEEN..
Bila women dunia ingekua INCOMPLETE bana jo juu hajungekua na watu kwa sababu kila mtu ametoka from a woman...
Zile sacrifices nyi umake,,zile kuganda nyi uganda watoi wakigrow na zile kujituma nyi ujituma ndio watoi wasosi na saa zingine kufunikia aibu za nyumba ndio maana siku ya leo tunataka tu kuwawish a HAPPY and BLESSED mother's day kwa woman's wote wenye walileta na wanaraise future ya dunia..
Msichoke jo juu ile kiatu nyi uvaa kwa parenting HATUWEZI toshea ata tuweke insole nichwez...
Tunawatambuaga na HATUWEZI bila nyinyi...

Alafu kuna REALITY janamo ya LIFE yenye sisi k**a binadamu udinda kukubali na tunajaribugu SANA kuiDECEIVE,,kuiCHEAT na ...
09/05/2026

Alafu kuna REALITY janamo ya LIFE yenye sisi k**a binadamu udinda kukubali na tunajaribugu SANA kuiDECEIVE,,kuiCHEAT na kuiIGNORE ni ati ata ukuwe na ganji aje,,ata ukuwe na POWER aje ama ata ukuwe na LINKS dunia nzima,,manze jo KILA MTU LAAAZIMA ATABUGDA...Ni idhaa tu na loketo ndio hatujuagi,,MOST HIGH ndio ukua na io dira na ameifichaga alafu...
Kwa ivo tukiendelea kuishi tukitegeaga JahJahree atupin location si basi tujaribu pia venye tunaweza tukae na watu poa,,tuheshimiane,,tuLEARN kukubali na kuACCOMODATE kila mtu venye yuko juu at the END of the day ile siku tutarianyu MAISHA nayo itaendelea bila sisi...
Ile idhaa utajipata unaLOOK down wacha isikuwe kuLOOK DOWN on anyone lakini ikuwe kupiga swalah tu kanjeveee,,kuADMIRE gwanda zako ama kuSCROLL page freedom kwa diura yako...
Niajeni watuu,,leo ni weekendi,,mwisho mwisho???tunaimalizia pinawa??pin zimwokalize...
Anyways,,iwararu jo to the FULLEST na take care...
Wakuninii waninii na wakuniniwa waniniwe...
πŸ‘•β˜‘οΈ

GOOD MORNING WORLD πŸŒ„πŸŒž
09/05/2026

GOOD MORNING WORLD πŸŒ„πŸŒž

Kujua na kuongea kilami SANA isikufanye uone unaweza advice watu..
Nkianza kuongea French,,kihindi,,Spanish,,Kijeru na etc najua tutakosana vibaya...
Anyways,,Good morning kutoka Freedom St. ,,Team BELIEVE na Umaf Foundation
Mkuwe na weekendi BEST...

Kwanini unakulie moto na sisi wote tunaSEARCH na tuko na nia ya kutoka kwa ground na kuondokea uduu???Kitu najua ni ati ...
07/05/2026

Kwanini unakulie moto na sisi wote tunaSEARCH na tuko na nia ya kutoka kwa ground na kuondokea uduu???
Kitu najua ni ati sisi wote tunaomba MUNGU mjamo na kila leo answer yake ukua YES,,,NO,, ama TEGEA...
Yangu ikitinguka ya nzakwa usibreezee ama kunikulia mathongo,,nipee morale ya kukaza zaidii uko juu ndio pia me nikishaSETTLE nipate morale ya kukuvuta na kukushikisha rada juu najua wewe k**a arif yangu antenna yako ukua juu....
HANAKU raha ya kukaa zabe ama kwa kikao watu k**a kumi na sisi wote tuko wizout ama uduu...
Tushikiliane,,tuombeane,tuchanuane na tupeane morale ya kuondokea SUFFERATION...
JAMBOOO watuuuu,,si mkuwe na usiku jamo imetulia na yenye imejaa maombi POSITIVE...
πŸ‘•β˜‘οΈ

07/05/2026

Tumezileta vitofauti,,sabu yenyu tu....venye mliwa mnataka...
Freedom St. jersey fan edition NOW available....
Haroooo....

Ng'ombe inaweza tembea na kuzunguka kila yard ikitafta na kustak nyasi lakini ikifika idhaa ya kuzaa inakuaga tayari ish...
06/05/2026

Ng'ombe inaweza tembea na kuzunguka kila yard ikitafta na kustak nyasi lakini ikifika idhaa ya kuzaa inakuaga tayari ishamesea na kuona penye itazalia na huwezi itoa apo mpaka imalize ngori....
Tafakari ya Freedom St.
Good mornings,,,watu warauke......
πŸ‘•β˜‘οΈ

KATIKA MONDAY BLUES..........REAL TALK......Dear Men,,,Unaskiaga aje ati ule arif yako mliwa na yeye kwa SUFFERATION mki...
04/05/2026

KATIKA MONDAY BLUES..........REAL TALK......
Dear Men,,,
Unaskiaga aje ati ule arif yako mliwa na yeye kwa SUFFERATION mkisearch yuko DOWN anahangaika na wewe Most High alikutingulia mngola????
Unaskiaga aje ati ule mtu yako mwenye aliwa akiangukia 40(forty) mnakula mbao mbao yuko wizout HAWEZI jik**atia ata surba janamo na wewe unapiga kilo kila weekendi na hanaku penye mlikosana ama kutembezeana mbaya mbaya...
Inakubambaga akikutrace saa zote umtolee form ama akikupigia na hauvai tenje kwa sababu mongo yako ushaweka uyu ni sumbua na anataka tu kukukata ama kukuOBTAIN...
HANAKU ule anakutakia mabaya ama urudi chini kiMAISHA but beshte yako akiwa ndio yuko POSITION io ya mtu yuko na afere na aanze kubehave venye wewe unabehave utafurahia??
Najua kila mtu yuko RESPONSIBLE kwa maisha yake lakini wee kumbuka MAISHA ni k**a game ya LUDO na dice haijawahi STOP kuroll,,,kila mtu yuko na moment yake ya kupata 6(SIX) na ombaa SANA mwenzako akipata 6 pia wewe tayari utakua uko kwa SAFE umejindanasu kwa pressure ya zero..
Jamaa yako akizama mtupie kamba na k**a hajui kuswim,,wacha tuseme kamba ilikatika ama TIDES zilimbeba juu hakua STRONG enough kuvumilia...
Harooo,,,reality check io,,,DICE BADO INAROLL...
Wiki poa watuuu....
πŸ‘•β˜‘οΈ

HANAKU kitu k**a 'beb si unajua sipendi izi mambo za mapenzi za social media'.....Ni either hauPOSTIKI ama kidogo ni k**...
03/05/2026

HANAKU kitu k**a 'beb si unajua sipendi izi mambo za mapenzi za social media'.....
Ni either hauPOSTIKI ama kidogo ni k**a anaTEVEVA kupurusha madush akikupost...
Si ata wewe unajua ma HONGO wakikukemba kwa status yake watakacha wote???
Anyways,,it's NEVER that serious😁😁..Kila mtu afanye na diura yake venye anataka..HATUWEZI wapanga venye mtafanya na tenje zenyu labda tu tuwaLINK na sticker za Freedom St. na kuwaombea mbarikiwe na iPhone 17 mkujie hii cover 😁😁...
Inakuaje watuuuu????URADI geng na kiSMART plain ndio tunawatakia kila deila kutoka hii nyanda...

Address

254
Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Freedom St. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share